Image
Image

EXCLUSIVE: MGAWANYO WA MAPATO KENYA, SPIKA ATOLEA UFAFANUZI KAZI ZA BUNGE NA BARAZA LA SENETI


Spika wa Bunge la Baraza la Seneti  Ekeu Ethuro wa  Kenya amesema hakuna haja ya kuwepo na mvutano juu ya muswada wa Mapato unaotaka kuwasilishwa bungeni nchini Kenya juu ya mgawanyo wa mapato baina ya serikali kuu na serikali za majimbo.

Aidha amesema katiba imefafanua vyema juu ya miswada ambayo inaweza kujadiliwa na vyombo vyote viwili, sambamba na  kazi na majukumu ya bunge na Baraza la Seneta , kwa hiyo hakuna haja ya kuwepo kwa mvutano juu ya nani mwenye nguvu zaidi ya mwingine.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment