watu watano miongoni mwao maafisa wawili wa polisi wamejeruhiwa baada ya watu waliokuwa na silaha kushambulia vituo vya polisi karibu na mpaka wa Kenya na somalia
Mashambulio hayo yametokea
katika miji ya Dadaab na Liboi. Tayari ulinzi umeimarishwa kwenye maeneo hayo
sambamba na msako mkali juu ya washambuliaji hao ambao inashukiwa wamekimbilia
kwenye mpaka wa Somalia.




0 comments:
Post a Comment