Mkuu
wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Saidi Mwema akimvisha nishani ya utumishi
mrefu Tanzania, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Kamishna Msaidizi
wa Polisi (ACP), Charles Kenyela kwenye hafla ya kuwavisha nishani
Maofisa, wakaguzi na askari wa vyeo mbalimbali wa Kanda ya Mashariki.
Hafla hiyo ilifanyika jana Jijini Dar es Salaam.
Mkuu
wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Saidi Mwema akimvisha nishani ya utumishi
mrefu na tabia njema, Sajini Meja kwenye hafla ya kuwavisha nishani
Maofisa, wakaguzi na askari wa vyeo mbalimbali wa Kanda ya Mashariki.
Hafla hiyo ilifanyika jana Jijini Dar es Salaam.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Post a Comment