Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema (kulia) na
Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Angela Kairuki, wakiperuzi kitabu
cha Katiba mpya, baada ya kuzinduliwa rasmi na Makamu wa Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, leo kwenye Viwanja wa
Karimjee, jijini Dar es Salaam.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Post a Comment