Aliye wahi kuwa mmoja wa wawakilishi wa Kenya katika BBA The
Chase, mrembo Huddah Monroe (The Boss Lady) anatarajiwa kutua Dar es Salaam,
Tanzania ku-host party ya “Mid Year Bash” siku ya jumamosi tarehe 29/june/2013.
Watu
wengi wanajiuliza itakuwaje pale watakapo kutana na Diva loveness ambae
wamekuwa na beef kwenye mitandao wakimgombea Prezzooo...Aka the boy is Mine
jaribu kujitokeza siku hiyo uone


0 comments:
Post a Comment