Mkuu wa jeshi la
Polisi nchini Insepkta Jenerali Said Mwema ameunda timu inayoongozwa na
makamishna wawili kutoka Operesheni na Idara ya Upelelezi makao makuu ya polisi
kwenda Arusha kwa ajili ya kuongeza nguvu kwenye operesheni na Upelelezi
kufuatia mlipuko kwenye mkutano wa chadema .
![]() |
| Insepkta Jenerali Said Mwema |
Timu
hiyo inaongozwa na Kamishna wa Operesheni na Mafunzo Paul Chagonja na
kamishna Issaya Mngulu, kutoka Idara ya Upelelezi wa makosa ya jinai.

IGP Mwema amesema mlipuko huo wa bomu
umesababisha vifo vya watu wawili na wengine sitini na mbili kujeruhiwa.




0 comments:
Post a Comment