Kocha wa Nigeria
Stephen Keshi hajalipwa malipo yake tangu alipokuwa akikiongoza kikosi cha
Super Eagles katika fainali za mataifa ya Afrika miezi mitano iliyopita.
Nahodha huiyo wa
zamani wa Super Eagles hata hivyi imeelezwa kuwa bado hajalalamikia malipo hayo
kiofisi.
Taarifa zaidi
zinasema Nigerian Football Federation linafanya utaratibu wa kulimaliza na
kwamba suala hilo liko ndani ya shirikisho la soka la Nigeria na timu ya kocha
huyo na kwamba hakuna matatizo hiyo ikiwa ni kauli ya katibu wa NFF Musa Amadu.
Shirikisho hilo
ambalo kwasasa linakabiliwa na matatizo makubwa ya kifedha pia linadaiwa na
kocha msaidizi wa timu hiyo Daniel Amokachi na kocha wa makipa Ike Shorunmu.


0 comments:
Post a Comment