Shabiki mmoja aliyekuwa na mapenzi na mchezaji Drogba ameonekana akiingia uwanjani kwa mbwembwe huku akiwa kajichora tatuu mgongoni iliyokuwa ikimuonyesha picha ya mchezaji huyo.
Shabiki huyo aliweza kuzama uwanjani hapo wakati wachezaji hao wakiwa
wanapasha kabla ya mechi ya kirafiki, ambayo iliweza kuwasababishia kuibuka na
magol 3- 0 baina ya shrewsury.
Hata hivyo mashabiki kibao wa Chelsea walijitokeza kumpokea Didie Drogba, huku
shabiki aliyekuwa kajichora tatuu iliyokuwa ikimuonyesha drogba kupokelewa
vyema na mchezaji huyo bila mwenyewe kuamini kilichotokea na hatimaye
kukumbatiana na kumshukuru drogba kwa kuonyesha mapenzi mema kwake, na kumtakia
mafaniko katika soka kama star.



0 comments:
Post a Comment