MKE wa
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein,
akizungumza na Balozi Mdogo wa China Zanzibar Balozi Chen Quiman, alipofika
Ikulu Migombani kumuuga baada ya kumaliza muda wake wa Kazi Zanzibar.
MKE
wa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mama Mwanamwema Shein,
akimsikiliza Balozi wa Mdogo wa China Zanzibar Chen Quiman,akitowa maelezo ya
picha aliomkabidhi Mama Mwanamwema Shein, alipofika kumuaga Ikulu Migombani.

0 comments:
Post a Comment