Image
Image

MWANAMUZIKI GURUMO KUAGWA RASMI OCTOBA 11 NA NOVEMBA MOSI JIJINI DAR ES SALAAM, NI BAADA YA KUTANGAZA KUSTAAFU MUZIKI.

 Ashabaraka Baraka akizungumza jambo katika kutambulisha onyesho maalum la Gurumo 53 litakalofanyika octoba 11katika ukumbi wa Diamond Jubilee, Jijini Dar es Salaam, kwa upande wa kushoto ni mzee muhidini gurumo, Juma Mbizo, Cosmas Chidumule na Saidi Kibiriti.


 Juma mbizo ambaye ndiye mratibu wa shoo hiyo akionekana akionyesha mfano wa moja ya CD itakayouzwa siku hiyo, ikiwa nisehemu moja wapo yakutambua na kuelewa namna mwanamuziki Muhidini Gurumo, Baada ya kutangaza kustaafu muziki kwa takribani miaka 50.
Mdau wa Muziki Nchini Deo Mutata Mwanatanga , Akiwa makini kufuatilia jambo wakati wa kuitambulisha shoo ya Gurumo53.

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment