Dimpoz akiwa katika sehemu zake zakujidai.

Dimpoz akiwa katika sehemu zake zakujidai.

Dimpoz akiwa katika sehemu zake zakujidai
Omari Nyembo a.k.a Ommy Dimpoz ni msaani wa muziki wa
kizazi kipya nchini Tanzania maarufu kama Bongo Fleva, ambaye kwa kipindi hiki
ni moja kati ya wasanii wanaovuma sana hasa kupitia nyimbo zake kama Me&You
akimshirikisha Vanessa Mdee, na Tupogo akimshirikisha J.Martins.
Ommy Dimpoz ni jina ambalo lilianza kupata umaarufu miaka
miwili iliyopita lakini kwa sasa limezagaa kila sehemu!
Mbali
nakuachia ngoma nyingi zakuburudisha Ommy pia ni mwanamitindo na anawo mtindo
ambao aliuanzisha yeye mwenyewe.
Hapo awali
alikuwa mshiriki mkubwa wa kikundi cha WASAFI pamoja na Diamond Platinumz,
lakini kwa sasa Ommy amejikita sana katika miondoko ya Solo ikiwa na ladha ya
kimjinimjini ambayo wengi tunaipenda.
Sio tu
katika matanuzi na mitindo, pia ni mkali sana awapo jukwaani.
Leo hii
Ommy Dimpoz anasheherekea siku yake yakuzaliwa na sherehe zitafanyika jumapili
katika klabu ya Billicanas jijini Dar es Salaam.
Happy
Birthday Ommy Dimpoz



0 comments:
Post a Comment