Mtaalamu wa Upishi wa Bia wa Kampuni ya
Bia Tanzania (TBL), Calvin Nkya (kulia) akielezea jinsi bia inavyopikwa
kwa njia ya kisasa wakati maofisa wa kikosi cha polisi cha usalama
barabarani, walipotembelea kiwanda cha kampuni hiyo, Dar es Salaam juzi kujua
utendaji wake. TBL hivi karibuni ilidhamini maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa
Usalama Barabarani yaliyomalizika hivi karibuni.
Mtaalamu wa Upishi wa Bia wa Kampuni ya
Bia Tanzania (TBL), Calvin Nkya (kulia) akitoa maelezo kuhusu utendaji wa
kiwanda cha bia cha Dar es Salaam,wakati maofisa wa kikosi cha polisi cha
usalama barabarani, walipotembelea kiwanda cha kampuni hiyo, Dar es Salaam
juzi. TBL ilidhamini maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani
yaliyomalizika hivi karibuni
Editha Mushi akitoa maelezo kwa baadhi ya maofisa
Nkya akitoa maelezo kuhusu utendaji wa
kiwanda cha Bia cha Dar es Salaam.
Maofisa wakitembezwa katika moja ya idara
ya utengenezaji bia.
Maofisa wakitembezwa katika moja ya idara
ya utengenezaji bia.
Mkuu wa Usalama
Barabarani Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni, Mrakibu Mwandamizi wa Polisi, Ibrahim
Mwamakula (kushoto) akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria
wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo, wakati maofisa wa kikosi cha
polisi cha usalama barabarani, walipotembelea kiwanda cha kampunihiyo, Dar es Salaam kujua utendaji wake.
TBL hivi karibuni ilidhamini maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama
Barabarani yaliyomalizika hivi karibuni.
Mkuu wa Usalama Barabarani Mkoa wa
Kipolisi wa Ilala, Mrakibu wa Polisi, Meloe Buzema akipokea zawadi kutoka kwa
Kilindo.
Maofisa wa Kikosi cha Usalama Barabarani
wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa TBL, baada ya
kumaliza ziara.PICHA JAPHARI JUMA.

0 comments:
Post a Comment