TAMBARARE HALISI INAWATAKIA SHEREHE
NJEMA ZA KUMBU KUMBU YA MWL NYERERE
Nazungumza habari za kutokusanya kodi. Kutokusanya kodi ni
sifa moja ya viserikali corrupt popote
pale.
Popote, wala usifikiri ni Tanzania peke yake, au Kenya peke
yake... Italy pale. Italy, serikali iliyotoka hii wana mzigo wa madeni.
Serikali corrupt popote pale, haitozi kodi. Serikali corrupt
inatumwa na wenye mali.
Inawafanyia kazi
wenye mali. Serikali corrupt itamwambiaje mwenye mali, kwamba “utalipa,
uspolipa utakiona!" Atacheka tu huyu. Atakwambia “unaniambia hivyo wewe?
kesho siji basi!”
Serikali corrupt haikusanyi kodi. Itabaki kufukuzana fukuzana na vijitu vidogo vidogo mabarabarani hivi basi.
Serikali corrupt haikusanyi kodi. Itabaki kufukuzana fukuzana na vijitu vidogo vidogo mabarabarani hivi basi.
Nukuu ya sehemu ya alichokisema
hayati Mwl. Julius K. Nyerere, Yachini hapo ni Hotuba nzima, Bofya Hspo
Usikilize.


0 comments:
Post a Comment