Kamati kuu ya chama cha mapinduzi CCM,imkubaliana
na maagizo nane ya bunge kuhusiana na sakata la akaunti yaya fedha ya tegeta escrow na kuiagiza serikali
kutekeleza maadhimio ya bunge kama ilivyopendekezwa na kuwataka walewote
walioopewa dhamana ya uongozi kuwajibika katika nyazifa zao kwa kuzingatia
maadili.Katibu
wa NEC na itikadi ya chama cha mapinduzi CCM Bwana NAPE NAUYE anajitokeza mbela
ya wandishi wa habarina kuelezea maadhimio ya kikao hicho kilichoketi
mjini zanzibar na kuongozwa na mwenyekiti wake ambaye niRais wa jamuhuri ya mungano wa tanzania DKT JAKAYA KIKWETE.
kuhusu
adhabu iliyokuwa imewekwa na chama hicho kwa waliotangaza nia ya kugombea
nafasi ya uraisi katikauchaguzi wa mwaka 2015,bwana nape amesema kuwa
kamati imeiagiza kamati ndogo ya maadili kuketi tarehe 19january ili kutathimini adhabu hiyo na utekelezaji wake na kuleta
maadhimio ya kamati ndogo ya maadili kwakamati kuu itakayoketi mwezi febr kuyapitia.
Aidha
sakata la ununuzi wa mahindi toka kwa wakulima kaamti imeiagiza serikali
kupitia upya mfumo wa ununuziwa mahindi toka kwa wakulima ili kuhakikisha
kuwa wakulima wanapata stahiki zao.
kikao
hicho cha kawaida kilichoketi mjini zanzibar kikiongozwa na mwenyekiti wa chama
hicho ambaye ni raisi wa jamuhuri ya mungano wa tanzania,kilichodumu kwa masaa
nane na kutoka na maazimio manne ikiwemo sakata la escrow,hali ya kisiasa na
mambo mengine ambapo watuhimiwa sita waliokuwa kwenye kifungo hicho cha chama
cha mapinduzi ni mh: stiven wassira,wiliamu ngereja,january makamba,fredrick
sumaye,edward lowasa na bernad membe.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Post a Comment