Image
Image

Kanisa katoliki lashindwa kusaidia kumaliza mgomo wa walimu kenya


Kanisa katoliki jana limeshindwa kujaribu kutafuta upatanishi wa mgogoro wa mishahara ya walimu uliopelekea mgomo uliodumaza kabisa masomo katika shule zote za umma nchini Kenya kwa wiki ya pili sasa tangu uanze.

Majadiliano hayo yaliyoongozwa na Askofu Maurice Crowley, ambaye ni msimamizi wa Elimu wa Kanisa Katoliki, yaliyofanyika Jijini Nairobi yalikuwa yakitarajiwa kumaliza mgomo huo, ulioathiri shule za umma nchi nzima, yalikwama baada ya viongozi wa vyama vya walimukutoka nje.


Walimu nchini Kenya walianza mgomo wao, jumatatu iliyopita baada ya kudai mazungumzo yao na Tume ya Huduma za Walimu yaliyoanza mwaka jana yamekwama.

 

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment