Image
Image

Breaking News:NEC imetoa ratiba ya uteuzi wa wagombea wa nyadhifa mbalimbali, kampeni za uchaguzi mkuu 2015.


Tume ya taifa imetoa NEC imetoa  ratiba ya uteuzi wa wagombea wa nyadhifa mbalimbali, kampeni za uchaguzi mkuu na siku ya kupiga kura kwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Katika ratiba hiyo uteuzi wa wagombea Urais, Wabinge na Udiwani utafanyika Agosti 21 huku kampeni za uchaguzi huo zikipangwa kuanza Agosti 22 hadi Octoba 24 ambapo tume hiyo imepanga Octoba 25 mwaka huu iwe siku maalum ya kupiga kura katika uchaguzi huo mkuu.

Hayo yamebainika katika  taarifa kwa vyombo vya habari aliyoitoa mwenyekiti wa tume hiyo ya taifa ya uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment