Image
Image

News Alert: Wabunge waitaka serikali kubainisha maeneo ya mapori tengefu ambayo hayana wanyama ili wapewa wafugaji au wakulima.


Baadhi ya wabunge waliochangia makadirio ya mapato na matumizi ya wizara ya maendeleo ya mifugo na uvuvi wameitaka serikali kubainisha maeneo ya mapori tengefu ambayo hayana wanyama ili wapewa wafugaji au wakulima kulikokuacha maeneo ambayo hayana matumizi wakati migogoro inaongezeka kila kukicha.

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment