Baadhi ya wajumbe wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe wakimsikiliza Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya
ya Kisarawe, Adamu Ng’imba alipokuwa akifafanua namna ya mji wa Kisarawe utakavyojengwa,kwenye mkutano
uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa
Karimjee jijini Dar es Salaam leo,ambapo wilaya ya Kisarawe inatarajia kuuza
viwanja zaidi ya 291 kwa wewekezaji wa viwanda.
Baadhi ya Waandishi wa Habari wakiwa kazini
Baadhi ya wanahabari kutoka vyombo mbalimbali sambamba na Baadhi ya
wajumbe wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe wakimsikiliza Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe, Adamu Ng’imba alipokuwa akifafanua namna ya
mji wa Kisarawe utakavyojengwa,kwenye mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Karimjee jijini Dar es Salaam leo.
Baadhi ya wajumbe wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe wakisoma vipeperushi
vinavyoeleza namna ya mji wa kisarawe utakavyojengwa.
Dar es Salaam.
Dar es Salaam.
HALMASHAURI ya Wilaya ya Kisarawe imetangaza viwanja 291 vilivyopimwa kwa
ajili ya uwekezaji wa viwanda katika Wilaya hiyo.
Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti
wa
Halmashauri hiyo, Adamu Ng’imba amesema Halmashauri ya Kisarawe ina mazingira rafiki kwa uwekezaji wa viwanda kutokana na maeneo hayo yalivyopimwa.
Ng’imba amesema kuwa mradi wa viwanja hivyo umeshirikisha
wananchi wa maeneo hayo ili kuweza kuondokana na migogoro baina ya wawekezaji na wananchi ili kuepuka malengo yaliyokusudiwa yasifanikiwe.
Halmashauri hiyo, Adamu Ng’imba amesema Halmashauri ya Kisarawe ina mazingira rafiki kwa uwekezaji wa viwanda kutokana na maeneo hayo yalivyopimwa.
Ng’imba amesema kuwa mradi wa viwanja hivyo umeshirikisha
wananchi wa maeneo hayo ili kuweza kuondokana na migogoro baina ya wawekezaji na wananchi ili kuepuka malengo yaliyokusudiwa yasifanikiwe.
Amesema katika viwanja vilivyopo katika mradi wa viwanda asilimia 63 ya fedha
zitazopatikana katika uuzaji wa kiwanja zitakwenda kwa mwananchi ni katika
kuepuka migogoro hiyo. Amesema wawekezaji baada ya kukamilisha taratibu zote za
umiliki wa ardhi ni miaka mitatu kama ameshindwa kuendeleza Halmashauri
itachukua na kuuza kwa mtu mwingine.
itachukua na kuuza kwa mtu mwingine.
Ng’imba amesema katika kuondokana na migogoro na ujenzi holela,Halmashauri
imeamua kushirikisha wananchi katika maeneo husika. Amesema watakaopata maeneo
ya uwekezaji katika Halmshauri ya Kisarawe watapata hati ndani ya siku saba na
wananchi ndiyo watakaonufaika na mradi huo.
Crdt.Michuzi.






0 comments:
Post a Comment