Image
Image

Rais wa MSUMBIJI Felipe Nyusi afanya ziara visiwani ZANZIBAR.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Rais wa Msumbiji Mhe,Filipe Jacinto Nyusi alipofika Ikulu Mjini Zanzibar.
Rais FILIPE NYUSSI wa MSUMBIJI ameanza ziara yake Kisiwani ZANZIBAR.
Akiwa Kisiwani ZANZIBAR – Rais NYUSI amekutana na kufanya mazungumzo ya Rais wa ZANZIBAR na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dakta ALI MOHAMED SHEIN.
Wakati wa mazungumzo hayo Dakta SHEIN amesema kuwa wakati umefika kwa ZANZIBAR na MSUMBIJI kubadilishana uzoefu na utalaamu katika sekta mbalimbali za kimaendeleo na kiuchumi.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment