Image
Image

Burundi imetangaza kuahirishwa kwa uchaguzi wote wa wabunge na rais.


Burundi imetangaza kuahirishwa kwa uchaguzi wote wa wabunge na rais ambao  ungefanyika mwezi huu na serikali imesema tarehe mp ya za chaguzi hizo zitatangazwa  baadaye na tume ya uchaguzi.
Uchaguzi wa Wabunge ungefanyika kesho wakati ul e wa rais ungefanyika tarehe 26  mwezi huu,lakini kutokana na machafuko ya maandaman o na jaribio la mapinduzi mwezi  uliopita jumuiya ya kimataifa ilitaka chaguzi zote ziahirishwe.
Kutokana na machafuko ya kupinga Rais PIERRE NKURUN ZIZA kugombea muhula wa tatu na jaribio la mapinduzi,  Jumuiya ya Afrika Mashariki  ilitaka uchaguzi uahirishwe kwa wiki sita ili kuleta mazingira ya kuwezesha ufanyike huru na kwa haki.
Wachambuzi wanasema inaelekea Bwana NKURUNZIZA hatimaye amesalimu amri kufuatia  shinikizo za kutaka chaguzi hizo zote zenye utata ziaharishwe.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment