Image
Image

Watu zaidi ya Elfu-Nane wamekufa wakiwa mikononi mwa Polisi nchini Nigeria.


Watu zaidi ya Elfu-Nane  wamekufa wakiwa  mikononi mwa Polisi nchini Nigeria  katika kipindi cha miaka minne iliyopita wakati wa mapambano na wapiganaji wa Boko Haram, madai ambayo yamekanushwa vikali na jeshi.
Shirika la Kimataifa la Kutetea Haki za Binadamu  la  Amnesty International linasema  walikuwa miongoni mwa zaidi ya watu  Elfu-20 walio kamatwa wakati wa oparesheni za  kupambana na wapiganaji wa Boko Haram.
Kwa mujibu wa shirika hilo watu wapatao  Elfu- 17 wamekufa tangu mwaka 2009,wakati  kikundi cha Boko Haram kilipoanzisha mapambano na serikali, Milioni 1 na Laki- 5 wamekimbia  makazi yao na mamia ya wengine kutekwa na kikundi hicho.
Ripoti hiyo inakuja ,wakati Rais mpya wa Nigeria na k iongozi wa zamani wa kijeshi wa  nchi hiyo Jenerali MUHAMMADU BUHARI ku anza ziara ya kwanza ya nje nchini  Niger,kujadili oparesheni za kanda dhidi ya kikundi hicho.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment