Staa wa Rnb Chris Brown ameanza kumpigania mtoto wake Royalty na
hatua ya kwanza aliyochukua ni kufungua kesi ya kuwa na haki zote za
mtoto huyu kama mzazi wake.
Chanzo cha hari hizi kimesema mama wa mtoto huyu amekuwa Nia Guzman amekuwa akidai pesa nyingi kutoka kwa Chris Brown za malezi ya mtoto wake. Chris akipewa haki hizo atakuwa na uwezo wa kukata kulipa pesa anazotaka mwana dada Nia.
Chris kwa sasa anamlipa Nia dola $2,500 kwa mwezi ila anataka dola $15,000. Chris anataka jaji atoe tamko la mweisho juu ya kiasi gani anafaa kupewa Nia.
Pia Chris anataka nafasi ya kumuona mtoto wake kila anapotaka tofauti na sasa.
Chanzo cha hari hizi kimesema mama wa mtoto huyu amekuwa Nia Guzman amekuwa akidai pesa nyingi kutoka kwa Chris Brown za malezi ya mtoto wake. Chris akipewa haki hizo atakuwa na uwezo wa kukata kulipa pesa anazotaka mwana dada Nia.
Chris kwa sasa anamlipa Nia dola $2,500 kwa mwezi ila anataka dola $15,000. Chris anataka jaji atoe tamko la mweisho juu ya kiasi gani anafaa kupewa Nia.
Pia Chris anataka nafasi ya kumuona mtoto wake kila anapotaka tofauti na sasa.


0 comments:
Post a Comment