Wakili wa familia ya mwanamke huyo amelalamikia mahakama hiyo kwa kuendesha uwamuzi wake faraghani. Naye kakake marehemu amesema uwamuzi huo ni ukiukaji mkubwa wa haki.
Mwanamke huyo kwa jina Farkhunda, alishambuliwa katika msikiti mmoja baada ya kutuhumiwa bila ukweli kwamba aliiteketeza Koran. Alipigwa mawe hadi kufa, maiti yake ikakanyagwa kwa gari na kisha ikateketezwa.
Mahakama ya rufaa pia imemuachia huru msimamizi wa msikiti huo.



0 comments:
Post a Comment