Baada
ya Spika wa Bunge kuahirisha bunge kutokana na wabunge wa kambi ya upinzani
kugomea miswada mitatu ya sheria ya Petroli,sheria ya usimamizi wa mapato ya Mafuta
na Gesi,uwazi na uwajibikaji katika tasnia ya uchimbaji Tanzania msemaji wa
kambi ya upinzani na waziri wa nishati na madini wametolea ufafanuzi suala hilo
nje ya ukumbi wa bunge.
Kufutia
hali hiyo afisa habari wa bunge Owen Mwandumbya naye ametoa ratiba kikao cha
bunge kitakachoendelea baade ambapo kwa mujibu taarifa yake muswada huo kwa leo
hautajadiliwa tena kama anavyoeleza.

0 comments:
Post a Comment