Shirika la haki za binadamu lenye makao yeke nchini Uingereza linasema kuwa mlipuko huo kwenye mji wa Ariha ulitokea wakati wanachama wa kundi hilo walipokutana kupata chakula.
Haijabainika ni nani aliendesha shambulizi hilo.
Mapema ndege za kivita za Syria zilishambulia waasi karibu na mji wa Aleppo kuzima jaribio ya kutaka kuuteka mji huo.
Utawala nchini Syria unasema kuwa takriban wanamgambo 100 waliuawa.


0 comments:
Post a Comment