Image
Image

Homa ya Salmonela kusababushwa na ulaji wa nyama ya nguruwe.


Shirika linalohusika na uchunguzi na usalama wa chakula nchini Marekani limetoa tahadhari kwa walaji wa nyama ya nguruwe.

Idara hiyo imefahamisha kuwa zaidi ya watu 80 wamekutwa na homa ya Salmonela huku wengine 6 wakiwa wamelazwa hospitali.

Idara hiyo ilizidi kufahamisha kuwa homa ya matumbo hiyo, utafiti umebaisha kuwa inasabishwa na ulaji wa nyama ya nguruwe.

Utafiti uliofanywa na wataalamu wa afya umefahamisha kuwa homa hiyo huweza kusababisha maafa kwa watoto, wazee na watu wenye udhaifu katika seli zao muilini.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment