Image
Image

UNDP kufadhili miradi yenye kuleta Ajira kwa vijana.

Shirika la maendeleo la umoja wa mataifa la UNDP limesema misaada ya maendeleo  nchini itakayotolewa na shirika hilo katika mwaka huu wa fedha itaelekezwa katika miradi itakayotoa nafasi nyingi za ajira kwa vijana.
Akizungumza jijini DSM kwenye mkutano wa wadau wa maendeleo wakiwemo wawakilishi kutoka mashirika ya kimataifa,  kaimu mkurugenzi mkazi wa UNDP, AMON MANYAMA amesema misaada ya mashirika ya kimataifa italenga kuwasaidia vijana katika kujiajiri au kuajiriwa.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment