Rais mstaafu ALI HASSAN MWISHI amewataka wahadhiri katika
taasisi ya elimu ya juu kutunga vitabu vya fani mbalimbali zikiwezo za
masuala ya fedha na uchumi katika lugha ya Kiswahili ili kuleta maendelo
nchini.
Akizindua vitabu viwili vilivyotungwa na wahadhiri wa chuo cha usimamizi wa fedha – IFM kwa kushirikiana na chuo kikuu cha GRONINGEN cha UHOLANZI, Mwinyi amesema vitabu vilivyoandikwa kwa lugha ya Kiswahili vitasomwa na watanzania wengi.
Vitabu hivyo ni Social economic dynamics kilichotungwa na mkuu wa chuo cha IFM Profesa GODWIN MJEMA na Msingi wa methodolojia ya utafiti kilichotungwa na Profesa Thadeo Satta.
Akizindua vitabu viwili vilivyotungwa na wahadhiri wa chuo cha usimamizi wa fedha – IFM kwa kushirikiana na chuo kikuu cha GRONINGEN cha UHOLANZI, Mwinyi amesema vitabu vilivyoandikwa kwa lugha ya Kiswahili vitasomwa na watanzania wengi.
Vitabu hivyo ni Social economic dynamics kilichotungwa na mkuu wa chuo cha IFM Profesa GODWIN MJEMA na Msingi wa methodolojia ya utafiti kilichotungwa na Profesa Thadeo Satta.
0 comments:
Post a Comment