Image
Image

Watu 24 wamekufa na wengine 25 wamejeruhiwa huko India baada ya treni mbili za mwendokasi kugongana.


Watu 24 wamekufa na wengine 25 wamejeruhiwa huko India baada ya treni mbili za mwendo wa kasi kuacha njia na kutumbukia kwa kufuatana kwenye mto uliokuwa umefurika.

Treni hizo zilizohusika na ajali katika Jimbo la Madhya Pradesh zilikuwa zinavuka daraja la moto uliokuwa umerika na makundi ya uokoaji yanasema mvua inayoendelea ilikuwa inakwamisha shughuli za uokoaji.

Taarifa zinasema katika hiyo iliyotokea kilomita 950 kutoka mji mkuu wa India, Delhi mabehewa yametumbukia katika mto na watu 300 waliokuwa kwenye treni hizo wameokolewa.

Msemaji wa reli ameeleza kuwa treni iliyokuwa inatoka Varansi kwenda Mumbai ilikuwa yakwanza kutumbukia kwenye mto na kufuatiwa na iliyokuwa inatoka upande mwingine iliyoanguka muda mfupi baadaye.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment