Image
Image

15 wameuawa na wengine 30 wamejeruhiwa huko Brazil kwa ajali ya basi.

Watu 15 wameuawa na wengine 30 wamejeruhiwa huko Brazil baada ya basi kuanguka karibu na mji wa enzi ya ukoloni wa Paraty.
Maafisa wamesema basi hilo lilianguka kwenye kona kali ya mteremko na baadhi ya majeruhi walichukuliwa kwa helikopta kuwapeleka kutibiwa hospitali za karibu.
Inasemekana mahali ilipotokea ajali hiyo kwenye mteremko wa mlima ni pabaya na hatari
sana na panaitwa na wenyeji kama mahali pa kuomba MUNGU NISAIDIE.
Na huko Afrika ya Kusini watu 15 wamejeruhiwa wakati basi dogo lilipoanguka barabara
moja kando ya mji wa Johannesburg baada ya dereva wake kushinda kulidhibiti.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment