Rapa Fat Joe anasema kila siku anajilaumu kwanini hakumpa lebel
Eminem baada ya kusiki demo zake. Bosi wa Terror Squad anasema wakati
Eminem anataka kutoka alimletea demo zake asikilize.
Fat Joe spoke with South China Morning Post about his music career and details not signing Eminem.
Eminem alinifata mara sita na sikumpa lebel na kila mara aliniletea
kazi mpya. Eminem aka Marshall Mathers alipewa lebel na producer Dr.
Dre kupitia Aftermath Entertainment mwaka 1998.
Fat Joe anaendelea kusema Eminem ange saini na mimi asingekuwa rapa
mkubwa kwa haraka hivyo kama alivyo saini na Dr Dre. Aftermath walifanya
kazi nzuri zaidi.”
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)


0 comments:
Post a Comment