Image
Image

G.Nako na Niki wa Pili - Laini.

MWANA hip hop, George Mdeme ‘G. Nako’ kutoka kundi la Weusi, anatarajia kuachia video ya wimbo wake wa ‘Laini’ hivi karibuni akiwa ameshirikiana na msanii mwanzake, Nickson Simon ‘Niki wa Pili’.
“Wimbo huu niliufanyia chini ya prodyuza Nahreel, nataraji kufanya video yake wakati wowote nina imani ni wimbo mzuri na utakubalika vema na mashabiki wangu kama walivyopokea nyimbo zangu zilizotangulia,’’ alisema.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment