Image
Image

Halmashauri ya Kinondoni kukamilisha eneo la wafanya biashara wadogo COCO Beach.


Halmashuari ya Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam imesema ipo katika hatua za mwisho za maandalizi ya kuboresha eneo la ufukwe wa COCO ambalo wafanyabiashara wadogo kwa sasa wamekuwa wakilitumia kwa kuuza vyakula vyepesi huku utaratibu wa malipo halali ukifanywa kwa lengo la kukusanya fedha ambazo zitatumika katika maboresho hayo.

Meneja wa usimamiaji wa miradi ya maendeleo manispaa ya Kinondoni Bwana Elichilia Hamis ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na Tambarare Halisi  juu ya mpango mkakati wa kuboresha maeneo ya fukwe kuwa maenmeo ya kibiashara na utalii wa kisasa.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment