Image
Image

News Alert:Dr.Slaa :Akwea Pipa kuelekea U.S.A




Siku moja baada ya aliyekuwa katibu mkuu wa chama cha Demokrasia na maendeleo-CHADEMA- Dokta Willbroad Slaa kutangaza rasmi kuhachana na siasa za vyama vya siasa baada ya kutofautiana na viongozi wenzake ndani ya chama chake cha CHADEMA inaelezwa kuwa kiongozi huyo amekwea Pipa kuelekea U.S.A. 
Stail ya kuzungumza na kuondoka nchini imefanana na ile ya Pof. Lipumba ambayo mara baada ya kufanya press conference na waandishi wa habari naye alikwea pipa.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment