Image
Image

News Alert:Madereva watakiwa kufuata sheria za barabarani kupunguza ajali.

Madereva mkoani  Ruvuma wametakiwa kufuata sheria za usalama barabarani ili kupunguza ajali zinazoweza kuzuilika.
Ajali hizozimeelezwa kuwa zimekuwa zikipoteza  maisha ya watu wengi  na wengine kuachwa na ulemavu wa kudumu mkoani humo.
Wito huo umetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo,CHANDE BAKARY NALICHO ambaye aliyemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma,  Bwana SAIDI MWAMBUNGU katika maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama  Barabarani Mkoa wa Ruvuma.
Kwa upande wake Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabani Mkoa wa Ruvuma,  ISSA LUTAVI amesema mwaka jana  ajali zilisababisha vifo 92 na majeruhi 531.

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment