Image
Image

Polisi yanasa mabomu ya kutwapwa kwa mikono kutoka kwa majambazi.


Jeshi la polosi mkoani Kagera limefanikiwa kukamata mabomu manne  ya kutupwa kwa mikono na Magazini mbili zilizokuwa na jumla ya  risasi mioamoja hamsini  kutoka kwa majambazi walikuwa wamejiandaa kufanya matukio ya uharifu katika  kituo kidogo cha Polis Kalenge kilichopo wilayani Biharamulo.

Akithibisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa jeshi la Polisi mkoani Kagera Agustine Ollomi amesema majambazi hao walikuwa wakitokea wilayani Kibondo mkoani kigoma wakieleka wilayani kahama ambapo jeshi hillo  liweka mtego wake na majambazi hao walifanikiwa lukimbia kusiko julikana na na kuacha silaha hizo pamoja na mabomu manne waliyokuwa wakitaka  kufanyia uharifu ambapo walikimbia kusikojulikana nakwamba jeshi la  polisi linaendelea na msako wakuwatafuta majambazi hao.

Kamanda wa jeshi la polisi mkoani kagera amesema kwa sasa jeshi la polisi linaendelea kuimarisha ulinzi wakutosha na kuhakikisha linadhibiti matukio ya ujamabazi wa kutumia silaha za moto hasa katika kipindi hiki gumu cha kuelekea uchaguzi mkuu.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment