Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Pope FRANCIS amewaruhusu mapadri wote kusamehe
utoaji mimba katika kipindi cha Jubilii ya Mwaka kuanzia mwezi Desemba hadi Novemba
mwakani.
Amesema wanawake wengi waliotafuta kutolewa mimba walifanya hivyo kwa sababu wanaamini
hawakuwa na njia nyingine mbadala ya kufanya hivyo.
Katika Ukatoliki utoaji mimba unahesabiwa kuwa ni dhambi kubwa ambayo inaadhibiwa kwa
wahusika kutengwa.
Katika nchi nyingi ni askofu tu anaweza kutoa msamaha kwa ajili ya utoaji mimba na
kukasimu padri mtaalamu kusikiliza toba ya mhusika.
Home
Kimataifa
Pope FRANCIS awaruhusu mapadri wote kusamehe utoaji mimba katika kipindi cha Jubilii.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)











0 comments:
Post a Comment