Image
Image

Wahamiaji walijazana katika kituo cha mabasi mjini Budapest kufuatia tangazo kuwa Ujerumani na Austria zitawakaribisha wahamiaji.


Wahamiaji ambao walikuwa wakisubiria katika vituo vya treni mjini Budapest nchini Romania walipatiwa basi za kusafiria na serikali ya nchi hiyo. Kwa kutumia mabasi hayo wahamiaji hao walivuka mpaka na kuingia nchini Austria.
Wahamiaji hao pia walipata ulinzi kutoka kwa polisi wa Romania ambao waliwasindikiza katika safari yao ya usiku.
Polisi wa Austria walisaidia katika kuwasajili wahamiaji walioingia nchini humo.


Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment