Image
Image

Breaking News:Mahakama yamwachilia huru Professa Lipumba na wenzake Kisutu.


Mahakama ya hakimu mkazi kisutu jijini Dar es Salaam imefuta kesi iliyokuwa inamkabili aliyekuwa mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF Prof.Ibrahim Lipumba na wenzake 30.
Mwendesha mashtaka wa serikali amewasilisha hati mahakamani hapo inayoeleza kuwa mwanasheria mkuu wa serikali hana nia tena ya kuendelea kesi hiyo.
Profesa lipumba na wenzake 30 walikuwa wameshtakiwa kwa kosa la jinai la kufanya mkusanyiko usio halali kwa mujibu wa sheria za nchi  mnamo januari 22 na 27 maeneo ya Temeke jijini Dar es Salaam.
Endelea kufuatilia Taarifa zetu kufahamu zaidi,Like Page yetu uwe wakwanza kupata habari.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment