Wafanyakazi hao ambao awali
waligoma ili kushinikiza uongozi wa kiwanda hicho kuwalipa stahiki zao wamegoma
tena hali iliyosababisha uongozi wa wilaya kuchukuwa hatua hiyo hadi wiki ijayo
serikali itakapokuwa imelipatia ufumbuzi suala hilo.
Katika kiwanda hicho wafanyakazi
hao wameonekana wakiwa wamefunga geti na kuweka kambi nje ya eneo hilo kwa
madai kuwa uongozi wa kiwanda uwaeleze hatima ya malipo yao.
Hata hivyo katika hali ya
kushangaza viongozi wote wa kiwanda hicho hawakuwepo maofisini na milango
ilikuwa imefungwa hata baada ya viongozi wa serikali kufika.
0 comments:
Post a Comment