Image
Image

Mapya yaibuka,Mmiliki wa makontena apewa saa 24 kujitokeza*Asipo jitokeza makontena kutaifishwa.


Sakata la ukamatwaji wa makontena 9 katika eneo la Mbezi Tank Bovu jijini Dar es Salaam hatimaye limeingia katika sura mpya baada ya mkurugenzi wa elimu kwa mlipa kodi kutoka mamlaka ya mapato nchini TRA Rachard Kayombo kulitolea ufafanuzi juu ya kukamatwa kwa makontena ambapo mpaka sasa hivi Makontena hayo pamoja na madereva walikuwa wanasafirisha yako chini ya ulinzi mpaka wahusika watakapojitokeza.
Amesema kuwa kwakuwa muhusika bado hajajitokeza wanampa Saa 24 za mmiliki wa makontena hayo kujitokeza ili ukaguzi uanze mara moja kwa mujibu wa sheria na kuangalia kilichomo kama kuna mali ya halali ama la na endapo atakaidi agizo basi sheria itachukua nafasi na kukagua kilichomo na hivyo kutaifisha mali hiyo.
Mkurugenzi wa elimu kwa mlipa kutoka TRA,anaelezea hatua walizonazo,Like Page yetu na toa maoni yako tutafanyia kazi.

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment