Real Madrid itakuwa ikichuana dhidi ya Malmo, Paris Saint-Germain watawakabili Shakhtar Donetsk zikiwa ni mechi za kundi A.
KUNDI: B:
PSV Eindhoven Wao watapepetana na CSKA Moskva, Wolfsburg watakuwa wakimenyana na Manchester United .
KUNDI: C:
Benfica watawakabili Atlético Madrid, na Galatasaray ya Uturuki itachuana na Astana
KUNDI: D:
Manchester City Watawakabili Borussia Mönchengladbach, huku Sevilla wao wakichuana na vijukuu vya bibi kizee vya Turin Klabu ya Juventus .
Na Desemba 9 kutapigwa mechi kadhaa katika mwendelezo wa michuano hiyo.
0 comments:
Post a Comment