Dakika ya 69 ya mchezo katika harakati za kuokoa mpira uliopigwa na Georgino Winaldum, Martin Skrtel wa Liverpool alijikuta akijifunga katika harakati za kuokoa mpira huo.
Na dakika ya 93 ndani ya muda wa nyongeza Wina-Naldum aliamsha shangwe St James Park kwa kuandika bao la pili.
Kwa Ushindi huo sasa Newcastle wamekwea hadi nafasi ya 18 wakiwa na pointi 13 juu ya Sunderland na Aston Villa ambao wanaburuta mkia katika msimamo wa ligi.
Ligi hiyo inatarajiwa kuendelea tena leo Jumatatu kwa mchezo mmoja tu ambapo Everton watawaalika Crystal Palace.
0 comments:
Post a Comment