Tambarare halisi imeshuhudia maofisa wa TANESCO wakifungua na kuonesha jinsi watuhumiwa hao walivyo fanikiwa kukwepa gharama halisi wanazotakiwa kulipa kwa matumizi yao .
Maa fisa hao wametaja majina ya baadhi ya nyumba ambazo zimechukuliwa hatua na TANESCO katika eneo la Kijitonyama baada ya kukutwa na hatia kuwa ni zil e zinazomilikiwa na DENIS MTUI, ABDALA ALLY KESSY na JAMES MAPUNDA .
Kabla ya wafanyakazi wa TANESCO kubainisha hatua wanazotarajia kuchukua baada ya zaoezi hilo , baadhi ya wananchi waliokutwa katika nyumba hizo wamepewa ufafanuzi wa hujuma i liofanywa katika nyumba wanazoishi na baadhi yao walioonesha kutofahamu kilichofanywa katika mita hizo.
0 comments:
Post a Comment