Mahakama Kuu ya Zanzibar imewaita tena viongozi wa Jumuiya ya Uamsho na
Mihadhara ya Kiislamu ambao wanakabiliwa na kesi ya ugaidi katika
mahakama za Tanzania Bara kusikiliza rufaa ya dhamana yao kwa kesi
nyengine.
Mwandishi wetu aliye visiwani Zanzibar anasema vikosi vya ulinzi na
usalama vimezingira maeneo yote ya Mahakama Kuu ya Vuga na hakuna
aliyeruhusiwa kuingia ndani kusikiliza kinachoendelea. Kwa mengi zaidi
sikiliza matangazo yetu ya mchana.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment