Image
Image

Polisi wanasa gram zaidi ya 595 za dawa za kulevya zikisafirishwa uwanja wa ndege Dar es Salaam.






Taarifa zilizotufikia muda huu ni kwamba Furushi lenye gram zaidi ya 590 lenye dawa za kulevya limenaswa na Askari Polisi wa uwanja wa ndege jijini Dar es Salaam.
Kifurushi hicho kinaelezwa kuwa kilikuwa kimetumwa kutoka Mkoani Morogoro kwa lengo la kusafirishwa kuelekea nchini Canada kwa usafiri wa DHL



Tutawafahamisha kitakachojiri baada ya muda,Like Page yetu hapo na kusoma taarifa zetu popote maoni yako ni muhimu..
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment