Image
Image

Picha 3 zikimuonesha Lowassa akimjulia hali Maalim Seif Serena DSM Leo.



Aliyekuwa Mgombea urais wa Chama cha democrasia na Maendeleo CHADEMA Edward Lowassa  kwa mwamvuli wa umoja ya wananchi UKAWA amefika kumjulia hali Makamu wa kwanza wa rais wa Serekali ya mapinduzi ya Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam anapoendelea kupata mapumziko.
Maalim Seif ambaye alikuwa anaumwa na kulazwa katika Hospitali ya Hindu Mandal jijini Dar es Salaam siku tatu zilizopita baada ya kuugua wakati anasafiri kutoka Zanzibar kuja Dar.

Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment