Image
Image

Waziri ataka uchaguzi wa Meya DSM kufanyika kabla ya Machi 25 Mwaka huu.



Waziri George Simbachawene ametoa agizo kuwa uchaguzi wa Meya wa jiji la Dar es Salaam ufanyike kabla ya Machi 25 Mwaka huu.
Agizo hilo la waziri Simbachawene limevitaka pia vyama vinavyoshiriki uchaguzi wa Meya kuheshimu Democrasia.
Katika hatua nyingine Chama cha CCM kimewatupia lawama wakurugenzi wa Manispaa na jiji kwamba kushindikana kufanyika kwa uchaguzi wa Meya wa Jiji la Dar es Salaam wao ndio chanzo na kiini cha tatizo kutokana na kushindwa kuitafsiri sheria vyema.




Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment