Image
Image

Kamanda wa kundi la Al-Shabaab ajisalimisha katikati ya Somalia.


Kamanda mmoja wa ngazi ya juu wa kundi la Al-Shabaab amejisalimisha kwa jeshi la Somalia kwenye kijiji kilicho karibu na mji wa Galcad, katikati ya Somalia.
Kamanda wa jeshi la taifa la Somalia kwenye sehemu hiyo kanali Ahmed Mohamed amesema, kamanda huyo, Ahmed Mohamud Afrah amekubali msamaha na kujisalimisha kwa serikali ya Somalia.
Afrah aliwahi kuwa kamanda wa kundi la Al-Shabaab aliyeshughulikia kukusanya kodi kwenye sehemu hiyo.
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment