Image
Image

Polisi nchini Kenya yakamata wafuasi 17 wa makundi ya uhalifu.


Polisi nchini Kenya imewakamata vijana 17 wenye umri wa miaka 12 hadi 26 katika mji wa pwani wa Mombasa ambao wamekuwa tishio kwa wakazi na kufanya ujambazi.
Naibu kamishna wa Kaunti ya Mombasa Salim Mahmud amesema, watuhumiwa hao watafikishwa mahakamani leo kwa mashtaka ya kumiliki dawa za kulevya na kujaribu kufanya uhalifu.
Habari zinasema, vijana hao ni wafuasi wa makundi ya Wakali Kwanza na Wakali Wao yanayosemekana kuwa na uhusiano na mbunge wa huko ambaye kwa sasa anachunguzwa kwa tuhuma za kuyafadhili..
Share on Google Plus

Kuhusu TAMBARARE HALISI

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment